Maloni wa Rouen
Mandhari
Maloni wa Rouen (pia: Mallone, Mallono, Melanio, Mellone, Mallonus, Mellonus, Mellon; Llanewrwg, Welisi, 229 – Hericourt, Ufaransa, 314) alikuwa askofu wa Rouen (Ufaransa).[1][2] Ndiye anayehesabiwa kuwa mwanzilishi wa Kanisa huko kwa kuleta katika mji huo imani ya Kikristo [3].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ David Hugh Farmer, The Oxford Dictionary of Saints (5 rev. ed.) (Oxford University Press, 2011) Page 307.
- ↑ Monks of Ramsgate. “Mellonius”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 22 October 2016
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/74740
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Who Was Saint Mellon? - article at the parish website of St Mellon's Church in St Mellons, Cardiff
- Geographical Essay appended to estate agent's particulars
- Rumney History summary
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |