Petro I wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Njozi ya Petro wa Aleksandria.

Petro I wa Aleksandria alikuwa Papa wa 17 wa Kanisa la Kikopti na alifia dini ya Ukristo tarehe 25 Novemba 311 chini ya kaisari Dioklesyano.

Pamoja naye waliuawa maaskofu Esiki, Pakomi na Theodori, mapadri Fausto, Dio na Amoni na wengine wengi.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki, Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.[1]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[2][3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • "Petros I (300–311)". Official web site of the Greek Orthodox Patriarchate of Alexandria and All Africa. Iliwekwa mnamo 2011-02-08. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.