Esiki, Pakomi na Theodori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Esiki, Pakomi na Theodori (walifia dini 25 Novemba 311) walikuwa maaskofu nchini Misri.

Waliuawa kwa upanga pamoja na Patriarki Petro I wa Aleksandria.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe ya kifo chao[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.