Ulaya ya Magharibi : Tofauti kati ya masahihisho
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: ckb:ئەورووپای ڕۆژاوا |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza xmf:ბჟადალ ევროპა |
||
Mstari 119: | Mstari 119: | ||
[[war:Katundan nga Europa]] |
[[war:Katundan nga Europa]] |
||
[[wo:Sowwu Tugal]] |
[[wo:Sowwu Tugal]] |
||
[[xmf:ბჟადალ ევროპა]] |
|||
[[yi:מערב אייראפע]] |
[[yi:מערב אייראפע]] |
||
[[yo:Apáìwọ̀òrùn Europe]] |
[[yo:Apáìwọ̀òrùn Europe]] |
Pitio la 05:46, 24 Juni 2012
Ulaya ya Magharibi ni sehemu ya magharibi ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili. Maelezo hutofautiana kutokana na njia mbalimbali za kuangalia sehemu hiyo: kwa maana ya kijiografia, kihistoria, kisiasa au kiutamaduni.
Kanda la kijiografia
Kama kanda la kijiografia ni mara nyingi nchi zifuatazo zinazohesabiwa kuwa Ulaya ya Magharibi:
- Isle of Man
- Luxemburg
- Monako
- Ubelgiji
- Ueire
- Ufaransa
- Uholanzi
- Ufalme wa Muungano (Uingereza)
Mpangilio wa Umoja wa Mataifa
Umoja wa Mataifa umepanga kanda hili tofauti hasa kwa kuhesabu Ufalme wa Muungano upande wa Ulaya ya Kaskazini lakini kuingiza Ujerumani, Austria na Uswisi ambazo zinahesabiwa mara nyingi kama sehemu ya Ulaya ya Kati; ila tu mpangilio wa UM hauna Ulaya ya Kati.
Ulaya ya Magharibi kihistoria katika karne ya 20
Wakati wa "vita baridi" Ulaya ya Magharibi ilimaanisha mara nyingi nchi zote za Ulaya zilizofungamana na upande wa magharibi yaani Marekani na NATO dhidi nchi za kikomunisti zilizoshikamana na Umoja wa Kisovyeti.