Ulaya ya Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Fix langos and minor fixes using AWB
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: sco:Northren Europe
Mstari 72: Mstari 72:
[[ro:Europa de Nord]]
[[ro:Europa de Nord]]
[[ru:Северная Европа]]
[[ru:Северная Европа]]
[[sco:Northren Europe]]
[[sh:Sjeverna Evropa]]
[[sh:Sjeverna Evropa]]
[[simple:Northern Europe]]
[[simple:Northern Europe]]

Pitio la 19:54, 9 Oktoba 2011

Ulaya ya Kaskazini na nchi zinazokubaliwa kwa kawaida kuwa sehemu zake
Kanda za UM linaonyesha visiwa vya Britania kuwa sehemu ya Ulaya ya Kaskazini.

Ulaya ya Kaskazini ni sehemu ya kaskazini ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili.

Kwa hakika tamko hili lamaanisha:

  • Wakati mwingine hata nchi nyingine kando la Bahari ya Baltiki kama Urusi ya kaskazini-magharibi, Poland ya kaskazini, Ujerumani ya Kaskazini zinahesabiwa humo.