Krispino wa Viterbo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 13: | Mstari 13: | ||
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] |
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
||
==Tanbihi== |
|||
{{reflist}} |
|||
{{mbegu-Mkristo}} |
{{mbegu-Mkristo}} |
||
{{DEFAULTSORT:Krispino wa Viterbo}} |
{{DEFAULTSORT:Krispino wa Viterbo}} |
Pitio la 10:01, 21 Januari 2021
Krispino wa Viterbo (13 Novemba 1668 – 19 Mei 1750) alikuwa bradha wa shirika la Ndugu Wadogo Wakapuchini.
Mtu asiye na elimu, alijiwekea lengo la kulingana na bradha Felix wa Cantalice, mtakatifu wa kwanza wa shirika lake.
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius VII tarehe 7 Septemba 1806, akawa mtakatifu wa kwanza kutangazwa na Papa Yohane Paulo II (20 Juni 1982).
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |