Felix wa Cantalice
Jump to navigation
Jump to search
Felix wa Cantalice ndilo jina la kitawa la Felice Porri (Cantalice, Rieti, Italia, 1515 hivi - Roma 18 Mei 1587) aliyekuwa bruda wa urekebisho wa Ndugu Wadogo Wakapuchini, ambaye alipata kuwa mtawa wa kwanza wa shirika hilo kutangazwa na Kanisa Katoliki kuwa mtakatifu.
Alitangazwa mwenye heri tarehe 1 Oktoba 1625 na mtakatifu tarehe 22 Mei 1712.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Mei.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Felix of Cantalice in Catholic Encyclopedia
- Felix of Cantalice in Catholic Forum
- San Felice da Cantalice(Kiitalia)
![]() |
Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Felix wa Cantalice kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |