Konrad wa Parzham : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Konrad wa Parzham [[O.F.M. Cap.]]''' ni jina la kitawa la Yohane Birndorfer |
'''Konrad wa Parzham [[O.F.M. Cap.]]''' ni [[jina la kitawa]] la Yohane Birndorfer ([[Bad Griesbach]], [[Passau]], [[Ufalme wa Bavaria]], leo nchini [[Ujerumani]], [[1818]] - [[Altötting]], Bavaria, [[1894]]) alikuwa [[bruda]] wa shirika la [[Ndugu Wadogo]] [[Wakapuchini]] na kufanya [[kazi]] ya [[bawabu]] kwenye [[patakatifu]] pa Altötting kwa miaka 40 na zaidi. |
||
Alikuwa [[bruda]] wa shirika la [[Wakapuchini]] na kufanya kazi ya [[bawabu]] kwenye [[patakatifu]] pa Altötting kwa miaka 40 na zaidi. |
|||
Alitangazwa na [[Papa Pius XI]] kuwa [[mwenye heri]] mwaka [[1930]] na [[mtakatifu]] mwaka [[1934]]. |
Alitangazwa na [[Papa Pius XI]] kuwa [[mwenye heri]] mwaka [[1930]] na [[mtakatifu]] mwaka [[1934]]. |
||
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[21 Aprili]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>. |
|||
==Tazama pia== |
==Tazama pia== |
||
Mstari 16: | Mstari 16: | ||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
||
{{commonscat|Saint Conrad of Parzham}} |
{{commonscat|Saint Conrad of Parzham}} |
||
{{mbegu-Mkristo}} |
{{mbegu-Mkristo}} |
||
[[Category:Waliozaliwa 1818]] |
[[Category:Waliozaliwa 1818]] |
||
[[Category:Waliofariki 1894]] |
[[Category:Waliofariki 1894]] |
Pitio la 06:34, 15 Januari 2021
Konrad wa Parzham O.F.M. Cap. ni jina la kitawa la Yohane Birndorfer (Bad Griesbach, Passau, Ufalme wa Bavaria, leo nchini Ujerumani, 1818 - Altötting, Bavaria, 1894) alikuwa bruda wa shirika la Ndugu Wadogo Wakapuchini na kufanya kazi ya bawabu kwenye patakatifu pa Altötting kwa miaka 40 na zaidi.
Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri mwaka 1930 na mtakatifu mwaka 1934.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Aprili[1].
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |