Buibui-kofia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
Nyongeza spishi za Afrika
 
Mstari 11: Mstari 11:
| oda = [[Ricinulei]]
| oda = [[Ricinulei]]
| familia = [[Ricinoididae]]
| familia = [[Ricinoididae]]
| bingwa_wa_familia = [[Henry Ellsworth Ewing|Ewing]], 1929
| subdivision = Jenasi 3:<br>
| subdivision = '''Jenasi 3; spishi 11 katika Afrika:'''
* ''[[Cryptocellus]]''
* ''[[Cryptocellus]]'' <small>[[John Obadiah Westwood|Westwood]], 1874</small>
* ''[[Pseudocellus]]''
* ''[[Pseudocellus]]'' <small>[[Norman Ira Platnick|Platnick]], 1980</small>
* ''[[Ricinoides]]''
* ''[[Ricinoides]]'' <small>Ewing, 1929</small>
** ''[[Ricinoides westermannii|R. westermanni]]'' <small>([[Félix Édouard Guérin-Méneville|Guerin-Meneville]], 1838)</small>
** ''[[Ricinoides afzelii|R. afzelii]]'' <small>([[Tord Tamerlan Teodor Thorell|Thorell]], 1892)</small>
** ''[[Ricinoides atewa|R. atewa]]'' <small>[[Piotr Naskrecki|Naskrecki]], 2008</small>
** ''[[Ricinoides crassipalpe|R. crassipalpe]]'' <small>([[Hans Jacob Hansen|Hansen]] & [[William Sørensen|Sorensen]], 1904)</small>
** ''[[Ricinoides feae|R. feae]]'' <small>(Hansen, 1921)</small>
** ''[[Ricinoides hanseni|R. hanseni]]'' <small>Legg, 1976</small>
** ''[[Ricinoides karschii|R. karschii]]'' <small>(Hansen & Sorensen, 1904)</small>
** ''[[Ricinoides leonensis|R. leonensis]]'' <small>Legg, 1978</small>
** ''[[Ricinoides megahanseni|R. megahanseni]]'' <small>Legg, 1982</small>
** ''[[Ricinoides olounoua|R. olounoua]]'' <small>Legg, 1978</small>
** ''[[Ricinoides sjostedtii|R. sjostedtii]]'' <small>(Hansen & Sorensen, 1904)</small>
}}
}}
'''Buibui-kofia''' ni [[arithropodi]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Ricinoididae]], familia ya pekee ya [[oda]] [[Ricinulei]] katika [[ngeli]] [[Arakinida|Arachnida]]. Jina lao linatoka kwa aina ya “kofia” ambayo wanaweza kutumia ili kufunika [[kichwa]], [[mdomo]] na [[kelisera]] ([[w:chelicerae|chelicerae]]). Kwa kawaida buibui-kofia wana urefu wa mm 5-10 na wanafanana na [[utitiri]]. Wataalamu wengine wanafikiri kwamba [[mdudu|wadudu]] hawa wana mnasaba na utitiri, lakini wengine wanafikiri kwamba wana mnasaba na oda ya zamani ya [[Trigonotarbida]] iliyokwisha sasa. [[Kefalotoraksi]] ([[w:cephalothorax|cephalothorax]]) na [[fumbatio]] zimeungwa kwa [[pediseli]] ([[w:pedicel|pedicel]]) nyembamba kwa umbo wa mrija kama kwa [[Buibui (Arithropodi)|buibui]]. Lakini ukingo wa fumbatio unaingia katika kunjo la [[gamba]] ([[w:carapace|carapace]]). Wana [[mguu|miguu]] minane kama arakinida wengine lakini jozi ya pili ni mirefu kuliko mingine na hutumika kama [[kipapasio|vipapasio]]. Hawana [[jicho|macho]] lakini spishi za zamani zilikuwa nayo na spishi za kisasa bado zina sehemu za kuhisi nuru. Mwenendo wa buibui-kofia haujulikani sana lakini inaonekana kwamba hula arithropodi wadogo kuliko hawa wenyewe.
'''Buibui-kofia''' (kutoka kwa [[Kiing.]] [[w:Ricinulei|hooded tickspider]]) ni [[arithropodi]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Ricinoididae]], familia ya pekee ya [[oda]] [[Ricinulei]] katika [[ngeli]] [[Arakinida|Arachnida]]. Jina lao linatoka kwa aina ya “kofia” ambayo wanaweza kutumia ili kufunika [[kichwa]], [[mdomo]] na [[kelisera]] ([[w:chelicerae|chelicerae]]). Kwa kawaida buibui-kofia wana urefu wa mm 5-10 na wanafanana na [[utitiri]]. Wataalamu wengine wanafikiri kwamba [[mdudu|wadudu]] hawa wana mnasaba na utitiri, lakini wengine wanafikiri kwamba wana mnasaba na oda ya zamani ya [[Trigonotarbida]] iliyokwisha sasa. [[Kefalotoraksi]] ([[w:cephalothorax|cephalothorax]]) na [[fumbatio]] zimeungwa kwa [[pediseli]] ([[w:pedicel|pedicel]]) nyembamba kwa umbo wa mrija kama kwa [[Buibui (Arithropodi)|buibui]]. Lakini ukingo wa fumbatio unaingia katika kunjo la [[gamba]] ([[w:carapace|carapace]]). Wana [[mguu|miguu]] minane kama arakinida wengine lakini jozi ya pili ni mirefu kuliko mingine na hutumika kama [[kipapasio|vipapasio]]. Hawana [[jicho|macho]] lakini spishi za zamani zilikuwa nayo na spishi za kisasa bado zina sehemu za kuhisi nuru. Mwenendo wa buibui-kofia haujulikani sana lakini inaonekana kwamba hula arithropodi wadogo kuliko hawa wenyewe.


==Spishi za Afrika==
{{Pendekezo-jina-mnyama}}
*''[[Ricinoides westermannii]]''
*''[[Ricinoides afzelii]]''
*''[[Ricinoides atewa]]''
*''[[Ricinoides crassipalpe]]''
*''[[Ricinoides feae]]''
*''[[Ricinoides hanseni]]''
*''[[Ricinoides karschii]]''
*''[[Ricinoides leonensis]]''
*''[[Ricinoides megahanseni]]''
*''[[Ricinoides olounoua]]''
*''[[Ricinoides sjostedtii]]''

{{Jaribio1| maneno_ya_asili = hooded tickspider | lugha = Kiingereza | maneno_ya_jaribio = buibui-kofia }}


[[Jamii:Buibui-kofia]]
[[Jamii:Buibui-kofia]]

Toleo la sasa la 19:45, 9 Julai 2020

Buibui-kofia
Aina ya buibui-kofia (Cryptocellus goodnighti)
Aina ya buibui-kofia (Cryptocellus goodnighti)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia
Faila: Arthropoda
Nusufaila: Chelicerata
Ngeli: Arachnida
Oda: Ricinulei
Familia: Ricinoididae
Ewing, 1929
Ngazi za chini

Jenasi 3; spishi 11 katika Afrika:

Buibui-kofia (kutoka kwa Kiing. hooded tickspider) ni arithropodi wa familia Ricinoididae, familia ya pekee ya oda Ricinulei katika ngeli Arachnida. Jina lao linatoka kwa aina ya “kofia” ambayo wanaweza kutumia ili kufunika kichwa, mdomo na kelisera (chelicerae). Kwa kawaida buibui-kofia wana urefu wa mm 5-10 na wanafanana na utitiri. Wataalamu wengine wanafikiri kwamba wadudu hawa wana mnasaba na utitiri, lakini wengine wanafikiri kwamba wana mnasaba na oda ya zamani ya Trigonotarbida iliyokwisha sasa. Kefalotoraksi (cephalothorax) na fumbatio zimeungwa kwa pediseli (pedicel) nyembamba kwa umbo wa mrija kama kwa buibui. Lakini ukingo wa fumbatio unaingia katika kunjo la gamba (carapace). Wana miguu minane kama arakinida wengine lakini jozi ya pili ni mirefu kuliko mingine na hutumika kama vipapasio. Hawana macho lakini spishi za zamani zilikuwa nayo na spishi za kisasa bado zina sehemu za kuhisi nuru. Mwenendo wa buibui-kofia haujulikani sana lakini inaonekana kwamba hula arithropodi wadogo kuliko hawa wenyewe.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu "Buibui-kofia" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili hooded tickspider kutoka lugha ya Kiingereza. Neno (au maneno) la jaribio ni buibui-kofia.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.