Lusia wa Sirakusa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]] |
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] |
|||
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
||
Pitio la 12:25, 31 Julai 2019
Lusia wa Sirakusa (283–304), maarufu kama Mtakatifu Lusia alikuwa msichana bikira na tajiri wa Sirakusa, Sicilia, Italia ambaye alitetea imani yake ya Kikristo hadi kuuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano.
Kwa sababu hiyo anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Desemba.
Anachorwa akishika mkononi sinia yenye macho yake aliyonyofolewa kabla hajauawa.
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Jacobus de Voragine, Legenda Aurea: St. Lucy (e-text, in English)
- "Cara Santa Lucia..." (Kiitalia)
- "St. Lucy" from New Advent's Catholic Encyclopedia.
- Representations of Saint Lucy
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |