Lusia wa Sirakusa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 10: Mstari 10:
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]



Pitio la 12:25, 31 Julai 2019

Mt. Lusia alivyochorwa na Domenico Beccafumi, 1521, (Pinacoteca Nazionale, Siena)

Lusia wa Sirakusa (283304), maarufu kama Mtakatifu Lusia alikuwa msichana bikira na tajiri wa Sirakusa, Sicilia, Italia ambaye alitetea imani yake ya Kikristo hadi kuuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano.

Kwa sababu hiyo anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Desemba.

Anachorwa akishika mkononi sinia yenye macho yake aliyonyofolewa kabla hajauawa.

Tazama pia

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.