Lusiani, Masimiani na Juliani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Lusiani, askofu wa Beauvais.

Lusiani, Masimiani na Juliani (walifariki 290 hivi) walikuwa wamisionari kutoka Roma waliotumwa katikati ya karne ya 3 kuinjilisha eneo la Beauvais, katika Galia (leo Ufaransa).

Huko walifia dini ya Ukristo wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Martyrologium Romanum inataja tarehe 8 Januari kwa sikukuu yao.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.