Nenda kwa yaliyomo

Lubensi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yanamotunzwa masalia yake huko Dietkirchen.

Lubensi (kwa Kilatini na Kijerumani: Lubentius; 300 hivi - Kobern, karibu na Koblenz, katika Ujerumani wa leo, 370 hivi) alikuwa padri[1] mfuasi wa Martino wa Tours aliyetumwa na askofu Masimino wa Trier kama mmisionari kwenye bonde la mto Lahn[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Oktoba[4].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Lorenz Müller: St. Lubentius und Dietkirchen an der Lahn. Eine Untersuchung. 1969
  • Martin Persch (1993). "Lubentius". In Bautz, Traugott (ed.). Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL) (in German). Vol. 5. Herzberg: Bautz. cols. 290–292. ISBN 3-88309-043-3. (including bibliography)
  • Franz Staab: Lubentius. In: Walter Kasper (Hrsg.): Lexikon für Theologie und Kirche. 3. Auflage. Band 6. Herder, Freiburg im Breisgau 1997, Sp. 1076.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.