Nenda kwa yaliyomo

Landelini wa Ettenheim

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Panapotunzwa masalia yake (1506).

Landelini wa Ettenheim (alifariki Ettenheim, Baden-Württemberg, katika Ujerumani wa leo, 640 hivi) alikuwa Mkristo mkaapweke wa Ireland aliyehamia Ulaya bara hadi alipouawa kwa kudhaniwa jambazi[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.