Kukufas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Mt. Cucuphas (Ayne Bru, 1504-1507)

Kukufas (pia: Qaqophas[1] au Cugat; 269- 304) alikuwa shemasi (kutoka Scillium, leo nchini Tunisia) aliyekwenda kuinjilisha eneo la Barcelona akauawa kwa kukatwa shingo huko Sant Cugat del Valles (leo nchini Hispania) wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian wa Dola la Roma[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake na ya wenzake huadhimishwa tarehe 25 Julai[3].

Picha[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. His name is said to be of Phoenician origin with the meaning of "he who jokes, he who likes to joke." Santi, beati e testimoni - Dizionario dei nomi
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/91568
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.