Kristos Samra

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mabawa ni ishara ya utakatifu wake.

Kristos Samra (kwa Ge'ez: ክርስቶስ፡ሠምራ, Krəstos Śämra, yaani “Kristo anapendezwa naye"; aliishi katika karne ya 15[1][2] ) alikuwa mwanamke wa Ethiopia aliyeanzisha monasteri ya Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia[3] baada ya kuishi katika ndoa na kuzaa watoto kumi.

Ni kati ya watakatifu zaidi ya 200 wazawa wa Ethiopia[4] na kati ya wale wa kwanza katika wanawake 14.[5]

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa lake kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Agosti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. according to the Gädlä Krəstos Śämra (The Life of Kristos Samra), a hagiography written about her around 1508. Filəṗṗos. Atti di Krestos Samra [Ethiopic Original]. Ed. Enrico Cerulli. Corpus scriptorum Christianorum Orientalium. (Leuven, Belgium: Imprimerie orientaliste L. Durbecq, 1956).
  2. Nosnitsin, Denis. 2007. "Krəstos Śämra." Encyclopaedia Aethiopica: He-N: Vol. 3, ed. Siegbert Uhlig, 443-445. Wiesbaden: Harrassowitz.
  3. Belcher, Wendy. "The Life and Visions of Krəstos Śämra, a Fifteenth-Century Ethiopian Woman Saint". African Christian Biography: Narratives, Beliefs, and Boundaries, ed. Dana Robert (kwa Kiingereza). 
  4. Kinefe-Rigb Zelleke. 1975. "Bibliography of the Ethiopic Hagiographic Traditions." Journal of Ethiopian Studies 13, no. 2 (July): 57-102.
  5. Selamawit Mecca. 2006. "Hagiographies of Ethiopian Female Saints: With Special Reference to Gädlä Krestos Sämra and Gädlä Feqertä Krestos." Journal of African Cultural Studies 18, no. 2 (December): 153-167.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.