Kopenhagen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kopenhagen, Denmark


Mahali pa Kopenhagen katika Denmark

Eneo
 - Mji
 - Mkoa wa Jiji

88 km²
455.61 km²
Wakazi
(2006-01-01)
 - Mji
 - Mkoa wa Jiji
 - Msongamano (mji/jiji)


501,158
1,115,035
5695/km² / 2447/km²
Kanda la wakati Ulaya ya Kati: UTC+1
Latitudo
Longitudo
55°43' N
12°34' E
Sanamu ya Nguva Mdogo kufuatana na hadithi ya mshairi Mdani Hans Christian Andersen
Kopenhagen, picha ya angani
Katika mji wa kale ya Kopenhagen

Kopenhagen (kwa Kidenmark: København = "Bandari ya wafanya biashara") ni mji mkuu wa Denmark pia mji mkubwa wa nchi na kitovu cha utawala, uchumi na utamaduni.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Kopenhagen iko Zealand (Sjælland) ambacho ni kisiwa kikubwa cha Denmark. Iko karibu na mji wa Malmo katika Uswidi ulio ng'ambo ya mlango wa bahari ya Oresund unaounganisha bahari ya Baltiki na Kattegat kuelekea Bahari ya Kaskazini. Sehemu ndogo ya mji iko kwenye kisiwa cha Amager.

Eneo la Kopenhagen lina miji ya Kopenhagen yenyewe (wakazi 501,158), Frederiksberg (wakazi 91,855), Gentoftev (wakazi 68,623) na wakazi wengine 453,399 katika miji midogomidogo ndani ya wilaya ya Kopenhagen.

Mahali pa Kopenhagen panapopendekezwa[hariri | hariri chanzo]

Watu mashuhuri wenye uhusiano na Kopenhagen[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kopenhagen kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.