Kolomba wa Cordoba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake huko Arceniega, Hispania.

Kolomba wa Cordoba (alifariki Cordoba, Hispania, 853 hivi) alikuwa mtawa bikira aliyeuawa kwa kukatwa kichwa na Waislamu waliotawala nchi hiyo[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Septemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.