Kolmani wa Dromore
Mandhari
Kolmani wa Dromore (pia: Mocholmóc; alifariki karne ya 6) alikuwa abati[1][2][3] wa monasteri aliyoianzisha huko Dromore[4], halafu pia askofu wa mji huo[5] katika kisiwa cha Ireland. Alijitahidi sana kueneza imani ya Kikristo katika eneo la Down[6].
Pengine anachanganywa na Kolmani mwingine aliyekuwa askofu katika Visiwa vya Orkney huko Uskoti na kufariki mwaka 1010 hivi[7][8].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 19 Juni 1902[9].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Murray, Henry. "Saint Colman of Dromore", Dromore Historical Journal, Dromore and District Local Historical Group, 1992
- ↑ Grattan-Flood, William. "St. Colman." The Catholic Encyclopedia. Vol. 4. New York: Robert Appleton Company, 1908. 21 Jul. 2013
- ↑ Butler, Alban. The Lives of the Saints, Vol. VI, 1866
- ↑ Niccolò Del Re, BSS, vol. IV (1964), col. 92.
- ↑ McMahon, Andrew. "Parish of Dromore", The Diocese of Dromore
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/56210
- ↑ http://catholicsaints.mobi/calendar/6-june.htm
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/56130
- ↑ Index ac status causarum (1999), pp. 404, 597.
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969. (Kiitalia)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |