Klementi na Agatanjelo
Mandhari


Klementi na Agatanjelo (walifariki Ankara, Uturuki ya leo, 312) walikuwa askofu wa Ankara na shemasi wake aliyemfuata kutoka Roma.
Walipata kuwa wafiadini wa Kikristo chini ya kaisari Diokletian ambaye alijaribu kumfanya Klementi aasi hata kwa mateso makali sana. Hatimaye waliuawa kwa kukatwa kichwa na askari wakati walipokuwa wanaadhimisha Liturujia ya Kimungu[1][2]
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi, na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 23 Januari[3] au 5 Februari.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Serbian Orthodox Church Ilihifadhiwa 3 Machi 2016 kwenye Wayback Machine. The Hieromartyr Clement, Bishop of Ancyra (January 23rd)
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/93023
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Saint of the Day, January 23: Agathangelus & Clement Ilihifadhiwa 29 Desemba 2019 kwenye Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
- Iconograms article on Clement.
- Patron saint index for 23 January.
- OCA article for 23 January saints.
- Patron saint article on Agathangelus.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |