Liturujia ya Kimungu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mozaiki ya mwaka 1150 hivi inayoonyesha watakatifu Basili Mkuu (kushoto) na Yohane Krisostomo, watunzi wa anafora mbili zinazotumika zaidi. Iko katika Cappella Palatina, Palermo (Italia).

Liturujia ya Kimungu ni adhimisho la ekaristi kwa jina linalotumiwa hasa na Waorthodoksi na Wakatoliki wa Mashariki wanaofuata madhehebu ya Kigiriki.

Ina sehemu kuu mbili: moja ambayo inaruhusu wakatekumeni kuhudhuria, ya pili ni kwa ajili ya waamini waliobatizwa tu.

Liturujia ya wakatekumeni[hariri | hariri chanzo]

Inaleta hasa Neno la Mungu kutoka Biblia ya Kikristo

Padri akiingia patakatifu akishika kitabu cha Injili.
Somo la Injili.
Litania ya wakatekumeni.


Liturujia ya waamini[hariri | hariri chanzo]

Ndiyo adhimisho la ekaristi yenyewe kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.

Padri akiingia patakatifu akibeba vipaji huku shemasi mdogo akishika chetezo.
Padri akisimama kwenye meza takatifu (altare).
Waamini wakijiandaa kupokea Ushirika mtakatifu.
Ugawaji wa Ushirika mtakatifu kwa waamini.
Askofu akifanya ishara ya msalaba kwa kitabu cha Injili juu ya kitambaa cha altare kiitwacho antimension.
Padri akiruhusu waamini kuondoka kwa msalaba wa baraka.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Makanisa ya Kiorthodoksi

Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki

Kanisa Katoliki la Kimelkiti

Kanisa Katoliki la Armenia