Klaudio wa Colombiere

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Klaudio alivyochorwa.

Klaudio wa Colombiere (kwa Kifaransa Claude de la Colombière; Saint-Symphorien-d'Ozon, Dauphiné, leo nchini Ufaransa, 2 Februari 1641 - Paray-le-Monial, Ufaransa, 15 Februari 1682) alikuwa padri wa Shirika la Yesu aliyepata umaarufu kwa uongozi wa kiroho na maandishi vilivyosaidia wengi kulenga utakatifu, akiwemo Margareta Maria Alacoque[1].

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri tarehe 16 Juni 1929, halafu Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu tarehe 31 Mei 1992.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.