Kipanga-kekeo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kipanga-kekeo
Kipanga-kekeo wa Afrika
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Accipitriformes (Ndege kama vipanga)
Familia: Accipitridae (Ndege walio na mnasaba na vipanga)
Nusufamilia: Perninae (Ndege wanaofanana na kengewa)
Jenasi: Aviceda
Swainson, 1836
Ngazi za chini

Spishi 5:

Vipanga-kekeo ni ndege mbua wa jenasi Aviceda katika familia ya Accipitridae. Ndege hawa ni vipanga wanaofanana na kekeo. Spishi zote zina kishungi. Vipanga-kekeo wanatokea misituni kwa Afrika, Asia na Australia. Hula wadudu wakubwa, Orthoptera (nzige na jamii) hasa, mijusi na nyoka, ndege na wanyama wadogo. Hujenga tago lao mtini na jike huyataga mayai 2-5.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]