Kihesa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kihesa ni kata ya Manisipaa ya Iringa, Mkoa wa Iringa, Tanzania, yenye Postikodi namba 51109.

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 22,276 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 18,196 waishio humo.[2]

Wengi wao ni Wahehe.

Ndipo linapopatikana kanisa kuu la Jimbo Katoliki la Iringa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Iringa mjini - Tanzania

Gangilonga | Igumbilo | Ilala | Isakalilo | Kihesa | Kitanzini | Kitwiru | Kwakilosa | Makorongoni | Mivinjeni | Mkimbizi | Mkwawa | Mlandege | Mshindo | Mtwivila | Mwangata | Nduli | Ruaha


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Iringa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kihesa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.