Iringa Mjini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Iringa mjini)
Mahali pa mkoa wa Iringa (kijani) kabla ya kumegwa.

Wilaya ya Iringa Mjini ni wilaya mojawapo kati ya 5 za Mkoa wa Iringa. Eneo lake ni hasa manisipaa ya Iringa pamoja na vijiji vya kando.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 106,668 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 202,490 [2].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Iringa mjini - Tanzania

Gangilonga | Igumbilo | Ilala | Isakalilo | Kihesa | Kitanzini | Kitwiru | Kwakilosa | Makorongoni | Mivinjeni | Mkimbizi | Mkwawa | Mlandege | Mshindo | Mtwivila | Mwangata | Nduli | Ruaha


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Iringa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Iringa Mjini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.