Kaprasi wa Lerins
Mandhari
Kaprasi wa Lerins (alifariki Lerins, Provence, Ufaransa, 430) alikuwa mkaapweke wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha monasteri katika kisiwa kidogo kisichokaliwa na watu pamoja na Honorati wa Arles[1] ili kufuata mifano ya Mababu wa jangwani kadiri ya kanuni ya Pakomi[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Juni[4][5].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ St. Caprasius - Saints & Angels - Catholic Online
- ↑ "Caprasius Presbyter at Lerins", A Dictionary of Early Christian Biography (Henry Wace, ed.)
- ↑ Hilarius of Arles, who had been a monk at Lérins before becoming bishop of Arles, composed a laudatio in honor of Caprasius after the latter’s death, which is the main source for Caprasius’ life.
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Great Synaxaristes: Ὁ Ὅσιος Καρπάσιος τῶν Λερίνων. 1 Ιουνίου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Catholic Online: Caprasius
- Saint of the Day, June 1 Archived 3 Januari 2010 at the Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |