Jumeirah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nembo ya Jumeirah

Jumeirah (jina kamili: Jumeirah Group, hapo awali iliitwa Jumeirah International Group) ni mnyonyoro wa hoteli za anasa za kimataifa na sehemu ya Dubai Holding, ambayo inamilikiwa na Serikali ya Dubai.

Mali ya Jumeirah ni kama Burj Al Arab na Jumeirah Emirates Towers, ambayo ni hoteli ya tatu katika hoteli refu zaidi duniani. Inasimamia Wild Wadi Water Park na The Emirates Academy of Hospitality Management na Jumeirah Hospitality.

Hata kama hoteli nyingi za Jumeirah zimo mjini Dubai, wao wanaanza kujenga ng'ambo. Mnamo Februari 2007, walikuwa na majumba mawili nchini Uingereza na moja nchini Marekani. Ina hoteli zinazojengwa nchini Bermuda, Uchina, Jordan, Qatar, Thailand na Uingereza.

Mali zake[hariri | hariri chanzo]

Mali ambazo bado zinajengwa[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Jumeirah to manage resort in Argentina. Gulf News (2008-06-11). Jalada kutoka ya awali juu ya 2009-04-03. Iliwekwa mnamo 2008-06-15.
  2. www.tgr-asia.com. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-03-25. Iliwekwa mnamo 2010-01-05.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]