Julia wa Corsica
Jump to navigation
Jump to search
Julia wa Corsica (pia: Julia wa Karthago; alifariki 439 hivi) alikuwa bikira Mkristo kutoka Karthago (leo nchini Tunisia) aliyeuawa katika kisiwa cha Corsica (leo nchini Ufaransa) wakati wa dhuluma ya mfalme wa Wavandali.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake na ya wenzake huadhimishwa tarehe 22 Mei.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |