Joji wa Suelli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Joji wa Suelli (Cagliari, Sardinia, Italia, karne ya 11 - Suelli, Cagliari, 23 Aprili 1117) alikuwa askofu wa Suelli, kijiji cha Italia visiwani kuanzia umri wa miaka 22 hadi kifo chake[1].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Aleksanda III mwaka 1159[2], tena na Papa Paulo V mwaka 1609.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyofariki dunia[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.