João Lourenço
João Lourenço | |
![]() João Lourenço, 2023 | |
Aliingia ofisini 26 Septemba 2017 | |
Makamu wa Rais | Bornito de Sousa Esperança da Costa |
---|---|
mtangulizi | José Eduardo dos Santos |
Mwenyekiti wa MPLA
| |
Aliingia ofisini 8 Septemba 2018 | |
mtangulizi | José Eduardo dos Santos |
Waziri wa Ulinzi wa Taifa
| |
Muda wa Utawala 22 Aprili 2014 – 24 Julai 2017 | |
Rais | José Eduardo dos Santos |
mtangulizi | Cândido Pereira dos Santos Van-Dúnem |
aliyemfuata | Salviano de Jesus Sequeira |
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
| |
Muda wa Utawala 17 Agosti 2023 – 17 Agosti 2024 | |
mtangulizi | Félix Tshisekedi |
aliyemfuata | Emmerson Mnangagwa |
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika
| |
Aliingia ofisini 15 Februari 2025 | |
mtangulizi | Mohamed Ould Ghazouani |
tarehe ya kuzaliwa | 5 Machi 1954 Lobito (sasa Angola) |
chama | MPLA |
ndoa | Ana Afonso Dias |
watoto | 6 |
Military service | |
Allegiance | ![]() |
Service/branch | Jeshi la Angola |
Years of service | 1974–2017 |
Rank | Jenerali wa jeshi |
Battles/wars | Vita vya Uhuru vya Angola |
João Manuel Gonçalves Lourenço (amezaliwa 5 Machi 1954) ni mwanasiasa wa Angola ambaye ameshika nafasi ya Rais wa Angola tangu tarehe 26 Septemba 2017.
Hapo awali, alikuwa Waziri wa Ulinzi kutoka mwaka 2014 hadi 2017. Mnamo Septemba 2018 alikua Mwenyekiti wa Harakati za watu kwa Ukombozi wa Angola (MPLA), chama tawala. Alikuwa Katibu Mkuu wa chama hicho kutoka mwaka 1998 hadi 2003.
João Lourenço aliteuliwa mnamo Desemba 2016 kuchukua nafasi ya nambari 1 ya chama katika uchaguzi wa wabunge wa Agosti 2017. Kwa upande wa katiba ya mwaka 2010, mtu anayeongoza orodha ya kitaifa ya chama cha siasa au umoja wa vyama vya siasa ambao hupata kura nyingi katika uchaguzi mkuu... atakuwa amechaguliwa Rais wa Jamhuri na Mkuu wa Utendaji (Kifungu cha 109). Kama MPLA ilishinda viti vingi 150, Lourenço moja kwa moja alikuwa Rais wa Angola, na kumpokea José Eduardo dos Santos, madarakani kwa miaka 38. Lourenço aliapishwa rasmi katika ofisi tarehe 26 Septemba 2017.
Atachukua wadhifa wake kama Rais wa Umoja wa Afrika mnamo Februari 15, 2025, kwa mwaka 1.
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu João Lourenço kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |