Jeremiah Mrimi Amsabi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jeremiah Mrimi Amsabi, ni mwanasiasa mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Serengeti mnamo mwaka 20202025. [1] Mwaka 2012 mpaka 2013 alikua meneja wa shule ya sekondari ya Imani. Mnamo mwaka 2011 mpaka 2020 alikua Mhadhiri Msaidizi katika Chuo Kikuu cha Dodoma.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Orodha la wabunge wa Tanzania, iliangaliwa Aprili 2022