Irenei wa Srijem
Mandhari

Irenei wa Srijem (alifariki Sirmium, leo Srijem nchini Korasya[1], 6 Aprili 304) alikuwa askofu kijana aliyepigwa mijeledi, akateswa gerezani siku nyingi na hatimaye akakatwa kichwa kwa sababu ya imani yake katika dhuluma ya kaisari Maximian.
Hakujali mateso hayo yaliyotangulia wala mabembelezo ya wazazi, mke na watoto wake[2].
Ndiyo maana anaheshimiwa tangu zamani na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ The Oxford Handbook of Late Antiquity edited by Scott Fitzgerald Johnson, p.98-99
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/48580
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Walsh, Michael, ed. Butler's Lives of the Saints.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- https://web.archive.org/web/20070205223359/http://www.catholic-forum.com/saints/sainti66.htm
- See pages 78ff in "Victories of the Martyrs" by St. Alphonsus de Liguori
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |