Herode Antipa
Herode Antipa (kwa Kigiriki Ἡρῴδης Ἀντίπατρος, Hērǭdēs Antipatros) alikuwa mtawala wa Galilaya na Perea katika karne ya 1. Alizaliwa na mfalme Herode Mkuu kabla ya mwaka 20 KK – akafariki uhamishoni[1] baada ya mwaka 39 BK).
Anajulikana hasa kutokana na habari zake zinazosimuliwa katika Agano Jipya ambamo Injili, hasa ile ya Luka zinaeleza alivyoagiza Yohane Mbatizaji akatwe kichwa na alivyomrudisha Yesu kwa Ponsyo Pilato siku ya Ijumaa Kuu ya mwaka 30 hivi.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Ya zamani
- Biblia: Zaburi 2:2; Injili ya Mathayo 14:1-11; Injili ya Marko 6:14-28; Injili ya Luka 3:1, 3:19-20, 8:3, 9:7-9, 13:31-33, 23:5-16; Injili ya Yohane 6:1, 21:1; Matendo ya Mitume 4:26, 13:1.
- Cassius Dio 59.8.2, 59.27.2–3.
- Yosefu Flavius, Antiquities 17–18, War 1–2.
- Injili ya Petro 1.
- Philo, On the Embassy to Gaius 299–305.
- Suetonius, Caligula 14.3.
- Ya kisasa
- Bond, Helen K. (1998). Pontius Pilate in History and Interpretation, Society for New Testament Studies monograph series. Cambridge: Cambridge University Press, 149. ISBN 0-521-63114-9.
- Bruce, F. F. (1963/1965). "Herod Antipas, Tetrarch of Galilee and Peraea" (PDF). Annual of Leeds University Oriental Society 5: 6–23. http://www.biblicalstudies.org.uk/pdf/herod_bruce.pdf. Retrieved 2007-10-19.
- Goodacre, Mark (May 1, 2004). Herod Antipas in The Passion of the Christ. NT Blog. Iliwekwa mnamo 2009-06-08.
- Hoehner, Harold W. (1970). "Why Did Pilate Hand Jesus Over to Antipas?", in Ernst Bammel (ed.): The Trial of Jesus: Cambridge Studies in Honour of C. F. D. Moule (PDF), Studies in Biblical Theology, London: SCM Press, 84–90. ISBN 0-334-01678-9. Retrieved on 2007-10-19.
- Jensen, Morten Hørning (2006). Herod Antipas in Galilee: The Literary and Archaeological Sources on the Reign of Herod Antipas and its Socio-economic Impact on Galilee, Wissenschaftliche Untersuchungen zum Neuen Testament. Tübingen: Mohr Siebeck, 121. ISBN 3-16-148967-5.; 2nd rev. ed. (Tübingen, Mohr Siebeck, 2010) Wissenschaftliche Untersuchungen zum Neuen Testament 2.Reihe (WUNT II), 215.
- Lane Fox, Robin (1991). The Unauthorized Version: Truth and Fiction in the Bible. London: Viking, 297. ISBN 0-670-82412-7.
- Milwitzky, William (1901–1906). "Antipas (Herod Antipas)". In Isidore Singer et al.. Jewish Encyclopedia. New York: Funk & Wagnalls. pp. 638–639. http://www.jewishencyclopedia.com/view.jsp?artid=1597&letter=A. Retrieved 2007-10-19.
- Schürer, Emil (1973). The History of the Jewish People in the Age of Jesus Christ: Volume I, revised and edited by Geza Vermes, Fergus Millar and Matthew Black, revised English, Edinburgh: T&T Clark. ISBN 0-567-02242-0. Pages 340–353 treat Antipas' reign.
- Sherwin-White, A. N. (1963). Roman Society and Roman Law in the New Testament. Oxford University Press. ISBN 0-8010-8148-3.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Galilee under Antipas and Antipas entries in historical sourcebook by Mahlon H. Smith
![]() |
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Herode Antipa kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |