Gregori wa Utrecht

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake yanamotunzwa masalia yake.

Gregori wa Utrecht (Trier, leo nchini Ujerumani, 706 hivi – Utrecht, leo nchini Uholanzi, 776 hivi) alikuwa mmonaki maarufu kwa umisionari wake alioufanya tangu ujanani chini ya Bonifas mfiadini.

Ndiye aliyemweka kuwa abati wa kwanza wa Utrecht akafariki huko baada ya kuongoza jimbo hilo kwa niaba ya Papa bila kupewa daraja ya askofu[1].

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 25 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.