Gordiani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wat. Gordiani na Epimaki katika Nuremberg Chronicle.

Gordiani (alifariki Roma, 300 hivi) alikuwa Mkristo wa Roma ya Kale ambaye aliuawa kwa ajili ya imani yake na kuzikwa karibu na mfiadini Epimaki hivi kwamba wameheshimiwa pamoja ingawa hawakuwa pamoja maishani[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Mei[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.