Nenda kwa yaliyomo

Fiorenso wa Nursia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Fiorenso wa Nursia (alizaliwa mkoani Umbria, Italia, karne ya 5; alifariki huko kabla ya mwaka 540) alikuwa mmonaki aliyeishi upwekeni na Eutisi wa Nursia. Baada ya huyo kukubali kuwa abati wa monasteri karibu na mji huo, kwa ombi lake aliendelea na ukaapweke[1].

Habari zake zimesimuliwa na Papa Gregori I katika kitabu cha Majadiliano, sura ya 15.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu ingawa Martyrologium Romanum anamtaja tu kama mwenzi wa Eutisi kwenye tarehe 23 Mei[2][3]..

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90580
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  3. Οἱ Ὅσιοι Εὐτύχιος καὶ Φλωρέντιος. 23 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
  • Gregorio Magno, La vita di San Benedetto, in Dialoghi, Libro II. Dal sito Ora, lege et labora.
  • Ansano Fabbi, I Santi nostri: diocesi di Norcia, Norcia 1961.
  • Ludovico Jacobilli, Vite de' Santi e Beati di Foligno, et di quelli, i corpi de quali si riposano in essa città e sua diocesi, Foligno, Appresso Agostino Alterij, 1628.
  • Giovanni Festa, Memoria di Sant’Eutizio monaco in Norcia (verso il 540) con San Fiorenzo monaco anch'egli a Norcia, su Sacra Arcidiocesi Ortodossa d'Italia e Malta.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.