Filarete wa Seminara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Wat. Elia na Filarete.

Filarete wa Seminara (Palermo, Sicilia, 1020 hivi - Palmi, Calabria, 1070) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Mashariki katika sehemu mbalimbali za Italia Kusini. Alikuwa na bidii kubwa kwa sala[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Aprili[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/48640
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • [1], Filarète di Calabria, santo, Enciclopedia Treccani (Kiitalia).
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.