Felisiani wa Foligno

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Felisiani huko Foligno.

Felisiani wa Foligno (San Giovanni Profiamma, karibu na Foligno, Umbria, Italia, 160 hivi - Foligno, 24 Januari 250 hivi) anayehesabika kuwa askofu wa kwanza wa eneo hilo lote kuanzia mwaka 204 hadi kifo chake [1].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 24 Januari[2].

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Aliinjilisha mapema sehemu kubwa ya mkoa wa Umbria wa leo[3]-

Akiwa na umri wa miaka 90 hivi aliteswa kwa kukataa ibada kwa miungu ya Dola la Roma, akafa wakati wa kuburutwa kuelekea Roma kuuawa[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Patron Saints Index: Saint Felician of Foligno". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-10-26. Iliwekwa mnamo 2020-04-20. 
  2. Martyrologium Romanum
  3. [http://www.santiebeati.it/dettaglio/90911 San Feliciano di Foligno
  4. Saint of the Day, January 24: Felician of Foligno & Messalina Archived 29 Novemba 2009 at the Wayback Machine. SaintPatrickDC.org. Retrieved 2012-03-08.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.