Felichisima wa Todi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Felichisima wa Todi (alifariki Todi au Perugia, Umbria, Italia ya Kati, 313 hivi) alikuwa mwanamke anayeheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini[1].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Mei[2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.