Fedele wa Como
Mandhari

Fedele wa Como (alifariki Sorico, karne ya 3) anakumbukwa kama mmisionari wa kwanza wa Como (Italia Kaskazini), alipotumwa na Materno wa Milano baada ya kuingizwa naye katika Ukristo[1].
Katika juhudi za kueneza dini hiyo aliuawa katika dhuluma ya Dola la Roma[2].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Oktoba[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/90408
- ↑ Monks of Ramsgate. "Fidelis of Como". Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 28 April 2013
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Saints of October 28: Fidelis of Como Ilihifadhiwa 31 Desemba 2019 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |