Fedele wa Como

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Fedele wa Como (alifariki Sorico, karne ya 3) anakumbukwa kama mmisionari wa kwanza wa Como (Italia Kaskazini), alipotumwa na Materno wa Milano baada ya kuingizwa naye katika Ukristo[1].

Katika juhudi za kueneza dini hiyo aliuawa katika dhuluma ya Dola la Roma[2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Oktoba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90408
  2. Monks of Ramsgate. "Fidelis of Como". Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 28 April 2013
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.