Nenda kwa yaliyomo

Fausto wa Riez

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Fausto katika dirisha la kioo cha rangi, Riez.

Fausto wa Riez (Britania[1], 400/410 - Ufaransa Kusini, 490 hivi) alikuwa askofu wa mji huo na mwanateolojia maarufu aliyepinga Upelaji [2].

Kabla ya hapo alikuwa msomi, akajiunga na monasteri ya Lerins akawa abati wake[3] kwa miaka 20-30[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu na babu wa Kanisa.

Sikukuu yake ni tarehe 28 Septemba[5][6].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Stancliffe, Clare (2004). "Faustus [Faustus of Riez] (400x10–c. 490)". Oxford Dictionary of National Biography. Oxford University Press. doi:10.1093/ref:odnb/51403. ISBN 978-0-19-861412-8. subscription or UK public library membership required
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/72300
  3. "Faustus of Riez", The Oxford Dictionary of Saint 5th rev. ed. (David Farmer, ed.) OUP, 2011, ISBN 9780199596607
  4. Healy, Patrick. "Faustus of Riez." The Catholic Encyclopedia Vol. 6. New York: Robert Appleton Company, 1909. 27 February 2018
  5. Martyrologium Romanum
  6. http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=3664 Catholic Online

Maandishi yake

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.