Fausto wa Riez
Mandhari

Fausto wa Riez (Britania[1], 400/410 - Ufaransa Kusini, 490 hivi) alikuwa askofu wa mji huo na mwanateolojia maarufu aliyepinga Upelaji [2].
Kabla ya hapo alikuwa msomi, akajiunga na monasteri ya Lerins akawa abati wake[3] kwa miaka 20-30[4].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu na babu wa Kanisa.
Sikukuu yake ni tarehe 28 Septemba[5][6].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
- Mababu wa Kanisa
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Stancliffe, Clare (2004). "Faustus [Faustus of Riez] (400x10–c. 490)". Oxford Dictionary of National Biography. Oxford University Press. doi:10.1093/ref:odnb/51403. ISBN 978-0-19-861412-8. subscription or UK public library membership required
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/72300
- ↑ "Faustus of Riez", The Oxford Dictionary of Saint 5th rev. ed. (David Farmer, ed.) OUP, 2011, ISBN 9780199596607
- ↑ Healy, Patrick. "Faustus of Riez." The Catholic Encyclopedia Vol. 6. New York: Robert Appleton Company, 1909. 27 February 2018
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=3664 Catholic Online
Maandishi yake
[hariri | hariri chanzo]- Opera Omnia by Migne Patrologia Latina with analytical indexes
- Faustus Reiensis (1891). Augustus Engelbrecht (mhr.). Favsti Reiensis Praeter sermones psevdo-evsebianos opera. Corpus Scriptorum Ecclesiasticorum Latinorum, XXI (kwa Latin). Prague-Vienna-Leipzig: F. Tempsky.
{{cite book}}: CS1 maint: unrecognized language (link) Barua na hotuba zake
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Fitzgerald, Allan; Cavadini, John C. (1999). Augustine Through the Ages: An Encyclopedia. Cambridge/Grand Rapids: Wm. B. Eerdmans. ku. 356–358. ISBN 978-0-8028-3843-8.
- Smith, Thomas A. (1990). De Gratia: Faustus of Riez's Treatise on Grace and Its Place in the History of Theology. University of Notre Dame Press. ISBN 978-0-268-00866-6.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |