Fara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Fara katika dirisha la kioo cha rangi.

Fara (Poincy, karne ya 6 - Faremoutiers, 675) alikuwa mwanzilishi na abesi wa kwanza wa monasteri wa Faremoutiers nchini Ufaransa kwa miaka 40[1].

Ndiye aliyemfanya kaka yake, Faro amhimize mke wake kujiunga na monasteri ili yeye aingie upadri.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira.

Sikukuu yake ni tarehe 7 Desemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90270
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Riché, Pierre, Dictionnaire des Francs: Les temps Mérovingiens. Eds. Bartillat, 1996. ISBN|2-84100-008-7
  • Wickham, Chris The Inheritance of Rome: A History of Europe from 400 to 1000., 2009. ISBN|978-0-7139-9429-2
  • Macnamara, Jo Ann, Halborg, John E. & Whatley, E. Gordon, Sainted Women of the Dark Ages. Duke University Press, 1992. ISBN|0-8223-1200-X
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.