Eutimi wa Sardi
Mandhari

Eutimi wa Sardi (Ouzara, leo nchini Uturuki, 751 hivi - Bitinia, 831) alikuwa mmonaki, halafu askofu mkuu wa mji huo.
Baada ya kudhulumiwa muda mrefu na kupelekwa uhamishoni na kaisari Mikaeli II wa Bizanti, hatimaye aliuawa kwa kuchapwa kikatili kwa neva za fahali chini ya kaisari Theofilo kwa sababu alitetea heshima kwa picha takatifu kinyume cha serikali ya Dola la Roma Mashariki[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Desemba[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Vyanzo
[hariri | hariri chanzo]- Kazhdan, Alexander (1991). "Euthymios of Sardis". Katika Kazhdan, Alexander (mhr.). The Oxford Dictionary of Byzantium. New York and Oxford: Oxford University Press. uk. 756. ISBN 978-0-19-504652-6.
{{cite encyclopedia}}: Invalid|ref=harv(help) - Winkelmann, Friedhelm; Lilie, Ralph-Johannes; na wenz. (1999). "Euthymios (#1838)". Prosopographie der mittelbyzantinischen Zeit: I. Abteilung (641–867), 1. Band: Aaron (#1) – Georgios (#2182) (kwa German). Walter de Gruyter. ku. 577–579. ISBN 3-11-015179-0.
{{cite book}}: Invalid|ref=harv(help)CS1 maint: unrecognized language (link)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Saints.SQPN: Euthymius of Sardis
- Santiebeati:Euthymius of Sardis
- Catholic Online:Euthymius of Sardis
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
