Eutimi wa Sardi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo kuhusu kifodini chake.

Eutimi wa Sardi (Ouzara, leo nchini Uturuki, 751 hivi - Bitinia, 831) alikuwa mmonaki, halafu askofu mkuu wa mji huo ambaye, baada ya kudhulumiwa muda mrefu, aliuawa kwa sababu ya kutetea heshima kwa picha takatifu kinyume cha serikali ya Dola la Roma Mashariki[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Desemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

      .

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.