Eustokia Calafato
Mandhari

Eustokia Smeralda Calafato wa Messina, Italia (25 Machi 1434 - 20 Januari 1485).
Alikuwa mmonaki, halafu abesi katika Shirika la Mtakatifu Klara ambaye alijitahidi kwa ari sana kurudisha nidhamu asili za kitawa na kuhamasisha ufuasi wa Kristo kadiri ya Fransisko wa Asizi [1].
Alizaliwa akafariki katika mji huo. Maiti yake haijaoza.
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu bikira tarehe 11 Juni 1988.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- "Eustochia Calafato". Patron Saints Index. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-12-19. Iliwekwa mnamo 2007-12-12.
- http://www.vatican.va/news_services/liturgy/saints/ns_lit_doc_19880611_calafato_it.html Maisha yake kwa Kiitalia
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |