Eufroni wa Autun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanisa kuu la Autun.

Eufroni wa Autun (alifariki baada ya mwaka 472) alikuwa askofu wa mji huo[1], Galia, leo Ufaransa kati ya mwaka 450 na 490[2].

Alijenga basilika la Sinforiani wa Autun na kupamba zaidi kaburi la Martino wa Tours[3].

Tangu zamani anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi, halafu na Waanglikana kama mtakatifu[4].

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Agosti[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. I.-F. Grégoire et F.-L. Collombet, Œuvres de C. Sollius Apollinaris Sidonius, vol. II, Lyon, Impr.-libr. Rusand, 1836
  2. Histoire des Francs, II, 15
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/65390
  4. http://nominis.cef.fr/contenus/saint/1620/Saint-Euphrone.html Nominis: Saint Euphrone
  5. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.