Eneo bunge la Kitutu Masaba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Eneo Bunge la Kitutu Masaba)
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Kitutu Masaba ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya majimbo ya uchaguzi ya Kaunti ya Nyamira.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.

Wabunge wa Kitutu Masaba[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Mchango
1988 Augustus Momanyi KANU Mfumo wa Chama kimoja.
1992 George Anyona KSC
1997 George Anyona KSC
2002 Samson Nyangau Okioma Ford-People
2007 Walter Nyambati NLP

Wodi za Uchaguzi[hariri | hariri chanzo]

Wodi za Uchaguzi
Wodi Wapiga Kura Waliosajiliwa Utawala wa Mji
Bocharia 1,815 Keroka (mji)
Gachuba 10,527 Nyamira (County)
Gesima 7,229 Nyamira (County)
Getare 1,501 Kisii (Munisipali)
Kemera 8,673 Nyamira (County)
Magombo 8,912 Nyamira (County)
Manga 10,608 Nyamira (County)
Mochenwa 4,931 Nyamira (County)
Nyankoba 3,232 Keroka (Mji)
Nyasore 3,101 Keroka (Mji)
Rigoma 5,319 Nyamira (County)
Total 65,848
*Septemba 2005 [2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]