Eklesio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Eklesio.

Eklesio (karne ya 5 - Ravenna, Emilia-Romagna, Italia, 27 Julai 532/533) alikuwa askofu wa 23 wa mji huo wa Italia Kaskazini kuanzia mwaka 521 hadi kifo chake.

Alimuunga mkono Papa Yohane I katika kuvumilia ukatili wa mfalme Theodoriki Mkuu bila kubadili msimamo dhidi ya Waario[1].

Hatimaye alibaki peke yake akastawisha tena jimbo lake [2][3][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Julai[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Deliyannis, Deborah Mauskopf (2010). Ravenna in Late Antiquity: AD; 7. Ravenna capital: 600-850 AD (kwa Kiingereza). Cambridge University Press. ku. 198–200. ISBN 978-0-521-83672-2. 
  2. Menzies, Lucy (1924). The Saints in Italy: A Book of Reference to the Saints in Italian Art and Dedication (kwa Kiingereza). Medici Society Limited. uk. 144. 
  3. Agnellus of Ravenna; Deliyannis, Deborah Mauskopf (2004). The Book of Pontiffs of the Church of Ravenna (Medieval Texts in Translation). Catholic University of America Press. ku. 171–177. ISBN 978-0-8132-1358-3. JSTOR j.ctt284wdr. 
  4. http://www.santiebeati.it/dettaglio/64580
  5. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • De S. Ecclesio episc. confessore Ravennae in Italia. Sylloge historica', VI, Roma-Parigi, Acta Sanctorum Julii, 1868, p. 444-446.
  • Oswald Holder-Egger (cur.), Agnelli qui et Andreas liber pontificalis ecclesiae Ravennatis, in «Scriptores rerum Langobardicarum et Italicarum saec. VI-IX», Hannover, Monumenta Germaniae Historica, 1878, p. 318-322.
  • Clementina Rizzardi, Note dell'antico episcopio di Ravenna: formazione e sviluppo, Actes du XIe congrès international d'archéologie chrétienne, Publications de l'École Française de Rome, 1989, p. 723.
  • Charles Pietri, Luce Pietri, Prosopographie chrétienne du Bas-Empire, in Prosopographie de l'Italie chrétienne (313-604), I, École française de Rome!, 1999, p. 612-615.
  • G. Cortesi, Due basiliche ravennati del VI secolo, I, S. Maria Maggiore, in Corso di cultura sull'arte ravennate e bizantina, XXX, 1983, p. 49-67.
  • Giovanni Gardini, La cappella del Sancta Sanctorum nella basilica di San Vitale. Brevi note tra archeologia e agiografia (PDF), «La bellezza della fede» 5, 2016, p. 249-271.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.