Eberigisili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eberigisili

Eberigisili[1] (alifariki 593 hivi) alikuwa Askofu mkuu wa Cologne, Ujerumani, wa tano kati ya wale wanaojulikana kwa hakika, na wa kwanza mwenye jina la Kifaranki[2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Oktoba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Ebergisel, Ebergisil, Ebregisel, Ebregisil, Ebregislus, Ebregiselus, Ebregisus, Evergislus, Evergisilus, Everigisil, Everigisilus
  2. [1] Archived 12 Julai 2007 at the Wayback Machine..
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Régis de la Haye, De bisschoppen van Maastricht. Maastricht, 1985

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • (Kijerumani) [2]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.