Nenda kwa yaliyomo

Dubrisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Dubrisi katika dirisha la kioo cha rangi.

Dubrisi (pia: Dubricius, Dubric, Dybrig, Dyfrig, Devereux; Madley, Uingereza, 465 hivi - Kisiwa cha Bardsey, Welisi, 550 hivi) alikuwa mmonaki msomi anayetajwa kama mwanzilishi na abati wa monasteri za huko Hentland na Moccas halafu kama askofu wa Llandaff [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Novemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.