Drostano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Drostano ([pia: Drostan, Drustan, Dustan, Tristan na Throstan; karne ya 6 - karne ya 7) alikuwa mmonaki wa Uskoti, mwanafunzi wa Kolumba wa Iona[1]. Alianzisha na kuongoza monasteri mbalimbali nchini, pamoja na kuinjilisha sehemu za Aberdeen, akamalizia maisha yake upwekeni[2][3][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Julai[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • "St. Drostan", The Oxford Dictionary of Saints; ed. David Hugh Farmer; Oxford: Oxford University Press, 1987.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.