Droside

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Droside au Anisia (alifariki karne ya 3 au ya 4) alikuwa mwanamke wa Antiokia ya Syria (leo nchini Uturuki) aliyefia dini ya Ukristo kwa kuchomwa moto kama alivyohubiri Yohane Krisostomo[1].

Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Desemba[2] au siku nyingine kadiri ya madhehebu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/81380
  2. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001 ISBN 88-209-7210-7)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.